18 Yehova amesema hivi: “Tazama, ninawakusanya mateka wa mahema ya Yakobo,+ nami nitazihurumia maskani zake. Na kwa kweli jiji litajengwa upya juu ya kilima chake;+ na mnara wa makao utaketi juu ya mahali pake panapoufaa.+
11 “ ‘Katika siku hiyo nitakisimamisha+ kibanda+ cha Daudi ambacho kimeanguka,+ nami nitayarekebisha matundu yao. Na mabomoko yake nitayasimamisha, nami nitakijenga kama katika siku za kale,+