2 Samweli 7:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 kuanzia siku nilipoweka waamuzi+ wawasimamie watu wangu Israeli; nami nitakupa pumziko kutoka kwa adui zako wote.+ “‘“Na Yehova amekuambia kwamba Yehova atakujengea nyumba.+ Zaburi 89:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Uzao wake mwenyewe utakuwako mpaka wakati usio na kipimo,+Na kiti chake cha ufalme kama vile jua lilivyo mbele zangu.+
11 kuanzia siku nilipoweka waamuzi+ wawasimamie watu wangu Israeli; nami nitakupa pumziko kutoka kwa adui zako wote.+ “‘“Na Yehova amekuambia kwamba Yehova atakujengea nyumba.+
36 Uzao wake mwenyewe utakuwako mpaka wakati usio na kipimo,+Na kiti chake cha ufalme kama vile jua lilivyo mbele zangu.+