21 vivyo hivyo agano langu linaweza kuvunjwa pamoja na Daudi mtumishi wangu+ ili asiwe na mwana anayetawala akiwa mfalme juu ya kiti chake cha ufalme;+ pia pamoja na makuhani, Walawi, wahudumu wangu.+
14 Naye akapewa utawala+ na heshima+ na ufalme,+ ili vikundi vyote vya watu, vya mataifa na lugha vimtumikie yeye.+ Utawala wake ni utawala unaodumu mpaka wakati usio na kipimo ambao hautapitilia mbali, na ufalme wake ni ufalme ambao hautaharibiwa.+