6 Kwa maana kuna mtoto ambaye amezaliwa kwetu,+ kuna mwana ambaye tumepewa;+ na utawala wa ukuu utakuwa juu ya bega lake.+ Naye ataitwa jina Mshauri wa Ajabu,+ Mungu Mwenye Nguvu,+ Baba wa Milele,+ Mkuu wa Amani.+
22 Baba yangu amevitia+ vitu vyote mkononi mwangu, na hakuna anayemjua Mwana ni nani ila Baba;+ na hakuna anayemjua Baba ni nani ila Mwana,+ na yule ambaye Mwana anapenda kumfunulia.”
21 Yeye atakayeshinda+ nitampa ruhusa ya kuketi pamoja nami katika kiti changu cha ufalme,+ kama vile nilivyoshinda na kuketi+ pamoja na Baba yangu katika kiti chake cha ufalme.+