Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 2:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Na kusema: “Mimi, naam, mimi nimemweka mfalme wangu+

      Juu ya Sayuni,+ mlima wangu mtakatifu.”+

  • Zaburi 8:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Unamfanya atawale juu ya kazi za mikono yako;+

      Kila kitu umekiweka chini ya miguu yake:+

  • Zaburi 89:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Pia, mimi mwenyewe nitamweka kama mzaliwa wa kwanza,+

      Aliye juu zaidi kati ya wafalme wa dunia.+

  • Zaburi 110:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Yehova ataituma fimbo+ ya nguvu zako kutoka Sayuni,+ akisema:

      “Nenda ukitiisha katikati ya adui zako.”+

  • Isaya 9:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa maana kuna mtoto ambaye amezaliwa kwetu,+ kuna mwana ambaye tumepewa;+ na utawala wa ukuu utakuwa juu ya bega lake.+ Naye ataitwa jina Mshauri wa Ajabu,+ Mungu Mwenye Nguvu,+ Baba wa Milele,+ Mkuu wa Amani.+

  • Mathayo 28:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Naye Yesu akakaribia na kuwaambia, akisema: “Nimepewa mamlaka yote+ mbinguni na duniani.

  • Luka 10:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Baba yangu amevitia+ vitu vyote mkononi mwangu, na hakuna anayemjua Mwana ni nani ila Baba;+ na hakuna anayemjua Baba ni nani ila Mwana,+ na yule ambaye Mwana anapenda kumfunulia.”

  • 1 Wakorintho 15:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Kwa maana ni lazima atawale akiwa mfalme mpaka Mungu awe ameweka adui zote chini ya miguu yake.+

  • Waefeso 1:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Alivitiisha pia vitu vyote chini ya miguu yake,+ na kumfanya kuwa kichwa juu ya vitu vyote+ kuhusiana na kutaniko,

  • Ufunuo 3:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Yeye atakayeshinda+ nitampa ruhusa ya kuketi pamoja nami katika kiti changu cha ufalme,+ kama vile nilivyoshinda na kuketi+ pamoja na Baba yangu katika kiti chake cha ufalme.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki