Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 11:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na roho ya Yehova itatua juu yake,+ roho ya hekima+ na ya uelewaji,+ roho ya shauri na ya nguvu,+ roho ya ujuzi+ na ya kumwogopa Yehova;+

  • Zekaria 6:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Naye mwenyewe atalijenga hekalu la Yehova, naye atachukua heshima;+ ataketi na kutawala juu ya kiti chake cha ufalme, naye atakuwa kuhani juu ya kiti chake cha ufalme,+ na shauri la amani+ litakuwa kati ya vyeo hivyo viwili.

  • Mathayo 7:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Basi wakati Yesu alipomaliza kusema maneno hayo, umati ukashangazwa+ na njia yake ya kufundisha;

  • Mathayo 12:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Malkia wa kusini+ atasimama katika hukumu pamoja na kizazi hiki naye atakihukumu kuwa chenye hatia; kwa sababu alikuja kutoka miisho ya dunia kuisikia hekima ya Sulemani, lakini, tazama! mtu mkuu kuliko Sulemani yuko hapa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki