Luka 2:52 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 52 Na Yesu akazidi kufanya maendeleo katika hekima+ na ukuzi wa kimwili, akipata kibali kwa Mungu na wanadamu.+ 1 Wakorintho 1:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Lakini ni kwa sababu yake kwamba ninyi mko katika muungano na Kristo Yesu, ambaye kwetu amekuwa hekima+ kutoka kwa Mungu, pia uadilifu+ na utakaso+ na kuachiliwa huru kupitia fidia;+
52 Na Yesu akazidi kufanya maendeleo katika hekima+ na ukuzi wa kimwili, akipata kibali kwa Mungu na wanadamu.+
30 Lakini ni kwa sababu yake kwamba ninyi mko katika muungano na Kristo Yesu, ambaye kwetu amekuwa hekima+ kutoka kwa Mungu, pia uadilifu+ na utakaso+ na kuachiliwa huru kupitia fidia;+