Waroma 10:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana Kristo ndiye mwisho wa Sheria,+ ili kila mtu anayeonyesha imani awe na uadilifu.+ 2 Wakorintho 5:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Yeye ambaye hakujua dhambi+ alimfanya kuwa dhambi+ kwa ajili yetu, ili sisi tuwe uadilifu wa Mungu+ kupitia yeye.
21 Yeye ambaye hakujua dhambi+ alimfanya kuwa dhambi+ kwa ajili yetu, ili sisi tuwe uadilifu wa Mungu+ kupitia yeye.