Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 5:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Msifikiri nilikuja kuharibu Sheria+ au Manabii. Sikuja kuharibu, bali kutimiza;+

  • Waroma 7:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Lakini sasa tumefunguliwa kutoka katika Sheria,+ kwa sababu tumekufa+ kwa kile ambacho kilikuwa kimetufunga, ili tuwe watumwa+ katika maana mpya kwa roho,+ wala si katika maana ya zamani kwa njia ya sheria zilizoandikwa.+

  • Waefeso 2:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa njia ya mwili wake+ aliufuta uadui,+ ile Sheria ya amri zilizofanyizwa kwa maagizo,+ ili aumbe vile vikundi viwili vya watu+ katika muungano na yeye mwenyewe viwe mtu mmoja mpya+ na kufanya amani;

  • Wakolosai 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 na kuifuta+ kabisa ile hati iliyoandikwa kwa mkono+ kutupinga, iliyokuwa na amri+ na iliyokuwa ikitupinga sisi;+ na Yeye ameiondoa njiani kwa kuipigilia misumari+ juu ya mti wa mateso.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki