Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 34:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Naye Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Jiandikie maneno haya,+ kwa sababu ninafanya agano pamoja nawe na Israeli kupatana na maneno haya.”+

  • Kumbukumbu la Torati 31:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Na ikawa kwamba mara tu Musa alipomaliza kuandika maneno ya sheria hii katika kitabu mpaka yakaisha,+

  • 2 Wafalme 23:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ndipo mfalme akapanda kwenda katika nyumba ya Yehova, na pia wanaume wote wa Yuda na wakaaji wote wa Yerusalemu pamoja naye, na pia makuhani+ na manabii na watu wote, kuanzia wadogo mpaka wakubwa;+ naye akaanza kusoma+ masikioni mwao maneno yote ya kile kitabu+ cha agano+ kilichokuwa kimepatikana katika nyumba ya Yehova.+

  • Waefeso 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa maana yeye ni amani yetu,+ yeye aliyefanya vile vikundi viwili+ kuwa kimoja+ na kuuharibu ukuta+ wa katikati uliowatenganisha.+

  • Waebrania 7:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Hakika, basi, ile amri iliyotangulia inawekwa kando kwa sababu ya udhaifu+ wake na kutofaa+ kwake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki