30 Sasa mfalme akapanda kwenda katika nyumba ya Yehova+ akiwa na wanaume wote wa Yuda na wakaaji wa Yerusalemu na makuhani+ na Walawi na watu wote, wakubwa kwa wadogo; naye akaanza kusoma+ masikioni mwao maneno yote ya kile kitabu cha agano, kilichokuwa kimepatikana katika nyumba ya Yehova.+