Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 22:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Baadaye Hilkia+ kuhani mkuu akamwambia Shafani+ mwandishi:+ “Nimepata kile kitabu chenyewe cha sheria+ katika nyumba ya Yehova.” Basi Hilkia akampa Shafani kile kitabu, naye akaanza kukisoma.

  • 2 Mambo ya Nyakati 34:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Sasa mfalme akapanda kwenda katika nyumba ya Yehova+ akiwa na wanaume wote wa Yuda na wakaaji wa Yerusalemu na makuhani+ na Walawi na watu wote, wakubwa kwa wadogo; naye akaanza kusoma+ masikioni mwao maneno yote ya kile kitabu cha agano, kilichokuwa kimepatikana katika nyumba ya Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki