1 Wafalme 6:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na ikawa kwamba katika mwaka wa 480 baada ya wana wa Israeli kutoka katika nchi ya Misri,+ katika mwaka wa nne,+ katika mwezi wa Zivu,+ yaani, mwezi wa pili,+ baada ya Sulemani kuwa mfalme juu ya Israeli, akaanza kumjengea Yehova nyumba.+ 1 Wafalme 8:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na ikawa kwamba makuhani walipoondoka mahali patakatifu, wingu+ likaijaza nyumba ya Yehova.
6 Na ikawa kwamba katika mwaka wa 480 baada ya wana wa Israeli kutoka katika nchi ya Misri,+ katika mwaka wa nne,+ katika mwezi wa Zivu,+ yaani, mwezi wa pili,+ baada ya Sulemani kuwa mfalme juu ya Israeli, akaanza kumjengea Yehova nyumba.+