Kumbukumbu la Torati 31:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Na ikawa kwamba mara tu Musa alipomaliza kuandika maneno ya sheria hii katika kitabu mpaka yakaisha,+ Kumbukumbu la Torati 31:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 “Mkichukue kitabu hiki cha sheria,+ nanyi mkiweke kando ya sanduku+ la agano la Yehova Mungu wenu, nacho kitashuhudia hapo juu yenu.+ 2 Mambo ya Nyakati 34:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Sasa walipokuwa wakitoa pesa+ zilizokuwa zinaletwa katika nyumba ya Yehova, Hilkia+ kuhani akakipata kile kitabu+ cha sheria ya Yehova+ kupitia mkono wa Musa.+
24 Na ikawa kwamba mara tu Musa alipomaliza kuandika maneno ya sheria hii katika kitabu mpaka yakaisha,+
26 “Mkichukue kitabu hiki cha sheria,+ nanyi mkiweke kando ya sanduku+ la agano la Yehova Mungu wenu, nacho kitashuhudia hapo juu yenu.+
14 Sasa walipokuwa wakitoa pesa+ zilizokuwa zinaletwa katika nyumba ya Yehova, Hilkia+ kuhani akakipata kile kitabu+ cha sheria ya Yehova+ kupitia mkono wa Musa.+