Kumbukumbu la Torati 17:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na itatukia kwamba atakapoketi kwenye kiti chake cha ufalme, atajiandikia katika kitabu nakala ya sheria hii kutoka katika ile iliyo mkononi mwa makuhani Walawi.+ 2 Mambo ya Nyakati 35:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Na yale mambo mengine+ ya Yosia na matendo yake ya fadhili zenye upendo,+ kulingana na yale ambayo yameandikwa katika sheria+ ya Yehova,
18 Na itatukia kwamba atakapoketi kwenye kiti chake cha ufalme, atajiandikia katika kitabu nakala ya sheria hii kutoka katika ile iliyo mkononi mwa makuhani Walawi.+
26 Na yale mambo mengine+ ya Yosia na matendo yake ya fadhili zenye upendo,+ kulingana na yale ambayo yameandikwa katika sheria+ ya Yehova,