9 Ndipo Musa akaandika sheria hii+ na kuwapa makuhani wana wa Lawi,+ wachukuaji wa sanduku la agano la Yehova,+ na kuwapa wanaume wote wazee wa Israeli.
8 Baadaye Hilkia+ kuhani mkuu akamwambia Shafani+ mwandishi:+ “Nimepata kile kitabu chenyewe cha sheria+ katika nyumba ya Yehova.” Basi Hilkia akampa Shafani kile kitabu, naye akaanza kukisoma.