Kutoka 34:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Naye Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Jiandikie maneno haya,+ kwa sababu ninafanya agano pamoja nawe na Israeli kupatana na maneno haya.”+ Danieli 9:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kama vile ilivyoandikwa katika sheria ya Musa,+ msiba huu wote—umekuja juu yetu,+ nasi hatukuutuliza uso wa Yehova Mungu wetu kwa kuacha makosa yetu+ na kwa kuonyesha ufahamu katika ukweli wako.+
27 Naye Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Jiandikie maneno haya,+ kwa sababu ninafanya agano pamoja nawe na Israeli kupatana na maneno haya.”+
13 Kama vile ilivyoandikwa katika sheria ya Musa,+ msiba huu wote—umekuja juu yetu,+ nasi hatukuutuliza uso wa Yehova Mungu wetu kwa kuacha makosa yetu+ na kwa kuonyesha ufahamu katika ukweli wako.+