7 Na hakuna yeyote anayeliitia jina lako,+ hakuna yeyote anayeamka ili akushike; kwa maana umeuficha uso wako kutoka kwetu,+ nawe unatuyeyusha+ kwa nguvu za kosa letu.
3 Ee Yehova, je, macho yako hayaangalii uaminifu?+ Umewapiga,+ lakini hawakuwa wagonjwa.+ Uliwaangamiza.+ Walikataa kukubali nidhamu.+ Walizifanya nyuso zao kuwa ngumu kuliko mwamba.+ Walikataa kurudi.+