Zaburi 14:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Je, hakuna yeyote kati ya wale wanaotenda mambo yenye kuumiza ambaye ana ujuzi,+Wakila watu wangu kama vile ambavyo wamekula mkate?+Hata hawajamwitia Yehova.+ Hosea 7:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wao wote hupata moto, kama tanuru, nao huwateketeza waamuzi wao. Wafalme wao wote wameanguka;+ hakuna yeyote kati yao anayeniita.+
4 Je, hakuna yeyote kati ya wale wanaotenda mambo yenye kuumiza ambaye ana ujuzi,+Wakila watu wangu kama vile ambavyo wamekula mkate?+Hata hawajamwitia Yehova.+
7 Wao wote hupata moto, kama tanuru, nao huwateketeza waamuzi wao. Wafalme wao wote wameanguka;+ hakuna yeyote kati yao anayeniita.+