30 “ ‘Nami nikaendelea kumtafuta mtu kati yao ambaye angekuwa akiurekebisha ukuta wa mawe+ na kusimama katika pengo+ mbele yangu kwa ajili ya nchi hiyo, ili mimi nisiiangamize;+ nami sikumpata yeyote.
13 Kama vile ilivyoandikwa katika sheria ya Musa,+ msiba huu wote—umekuja juu yetu,+ nasi hatukuutuliza uso wa Yehova Mungu wetu kwa kuacha makosa yetu+ na kwa kuonyesha ufahamu katika ukweli wako.+