2 Wafalme 17:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 nao hawakusikiliza lakini wakaendelea kufanya shingo zao kuwa ngumu+ kama shingo za mababu zao ambao hawakuonyesha imani+ katika Yehova Mungu wao; Amosi 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “ ‘Mimi pia, niliwapa ninyi usafi wa meno+ katika majiji yenu yote na upungufu wa mkate katika mahali penu pote;+ lakini hamkurudi kwangu,’+ asema Yehova. Amosi 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mtafuteni Yehova, Ee nyumba ya Yosefu,+ mwendelee kuishi,+ ili asitende kama vile moto,+ nao usije ukateketeza, na Betheli lisikose mtu wa kuuzima,+
14 nao hawakusikiliza lakini wakaendelea kufanya shingo zao kuwa ngumu+ kama shingo za mababu zao ambao hawakuonyesha imani+ katika Yehova Mungu wao;
6 “ ‘Mimi pia, niliwapa ninyi usafi wa meno+ katika majiji yenu yote na upungufu wa mkate katika mahali penu pote;+ lakini hamkurudi kwangu,’+ asema Yehova.
6 Mtafuteni Yehova, Ee nyumba ya Yosefu,+ mwendelee kuishi,+ ili asitende kama vile moto,+ nao usije ukateketeza, na Betheli lisikose mtu wa kuuzima,+