8 Na Elisha alikuwa amemwambia yule mwanamke ambaye alikuwa amemfufua mwana wake,+ na kusema: “Ondoka uende, wewe pamoja na nyumba yako, ukae ugenini popote unapoweza kukaa ugenini;+ kwa kuwa Yehova ametangaza kuwe na njaa,+ na zaidi ya hayo, itakuja juu ya nchi kwa miaka saba.”+