4 Kisha wakamwambia Farao: “Tumekuja kukaa tukiwa wageni nchini,+ kwa sababu hakuna malisho kwa ajili ya makundi waliyo nayo watumishi wako,+ kwa maana njaa ni kali katika nchi ya Kanaani.+ Na sasa, tafadhali, waruhusu watumishi wako wakae katika nchi ya Gosheni.”+