9 Ndipo Yehova akaniambia, ‘Usimsumbue Moabu wala kupigana vita naye, kwa sababu sitakupa wewe sehemu yoyote ya nchi yake iwe miliki yako, kwa maana wana wa Loti+ nimewapa Ari+ iwe miliki yao.
34Kisha Musa akatoka katika nchi tambarare za jangwa la Moabu na kuingia katika Mlima Nebo,+ mpaka juu ya Pisga,+ mbele ya Yeriko.+ Naye Yehova akamwonyesha nchi yote, Gileadi mpaka Dani,+