Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 19:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Baada ya muda yule mzaliwa wa kwanza akazaa mwana, akamwita jina lake Moabu.+ Yeye ndiye baba ya Moabu, mpaka leo hii.+

  • Hesabu 21:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na kutoka Bamothi mpaka katika bonde lililo katika uwanja wa Moabu,+ kwenye kichwa cha Pisga,+ nalo linachomoza kuelekea uso wa Yeshimoni.+

  • Kumbukumbu la Torati 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ndipo Yehova akaniambia, ‘Usimsumbue Moabu wala kupigana vita naye, kwa sababu sitakupa wewe sehemu yoyote ya nchi yake iwe miliki yako, kwa maana wana wa Loti+ nimewapa Ari+ iwe miliki yao.

  • Kumbukumbu la Torati 34:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Kisha Musa akatoka katika nchi tambarare za jangwa la Moabu na kuingia katika Mlima Nebo,+ mpaka juu ya Pisga,+ mbele ya Yeriko.+ Naye Yehova akamwonyesha nchi yote, Gileadi mpaka Dani,+

  • Waamuzi 3:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Na Moabu wakatiishwa siku hiyo chini ya mkono wa Israeli; na nchi haikuwa na usumbufu wowote tena kwa miaka 80.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki