Hesabu 23:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa hiyo Balaki akamchukua Balaamu mpaka juu ya Peori, unaoelekea Yeshimoni.+ Yoshua 12:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 na Araba+ hadi bahari ya Kinerethi+ kuelekea mashariki hadi bahari ya Araba, yaani, Bahari ya Chumvi,+ upande wa mashariki kuelekea Beth-yeshimothi,+ na kuelekea kusini chini ya miteremko ya Pisga.+
3 na Araba+ hadi bahari ya Kinerethi+ kuelekea mashariki hadi bahari ya Araba, yaani, Bahari ya Chumvi,+ upande wa mashariki kuelekea Beth-yeshimothi,+ na kuelekea kusini chini ya miteremko ya Pisga.+