Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 34
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Kumbukumbu la Torati 34:1

Marejeo

  • +Hes 27:12; Kum 32:49
  • +Hes 21:20; Kum 3:27
  • +Hes 36:13
  • +Yos 19:47; Amu 18:29

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    ‘Nchi Nzuri’, kur. 8-9

  • Fahirishi ya Machapisho

    gl 8-9

Kumbukumbu la Torati 34:2

Marejeo

  • +Kut 23:31; Hes 34:6; Kum 11:24

Kumbukumbu la Torati 34:3

Marejeo

  • +Yos 15:1
  • +Mwa 13:10; 1Fa 7:46
  • +2Nya 28:15
  • +Mwa 19:22; Isa 15:5

Kumbukumbu la Torati 34:4

Marejeo

  • +Mwa 12:7; 26:3; 28:13
  • +Hes 20:12; Kum 32:52

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Marejeo ya Daftari la Huduma na Maisha, 2/2020, uku. 1

Kumbukumbu la Torati 34:5

Marejeo

  • +Hes 12:7; Mal 4:4
  • +Kum 32:50; Yos 1:2

Kumbukumbu la Torati 34:6

Marejeo

  • +Kum 3:29
  • +Mdo 2:31; Yud 9

Kumbukumbu la Torati 34:7

Marejeo

  • +Kum 31:2; Mdo 7:23, 30, 36
  • +Mwa 27:1; 48:10
  • +Yos 14:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/1986, uku. 29

Kumbukumbu la Torati 34:8

Marejeo

  • +Hes 20:29

Kumbukumbu la Torati 34:9

Marejeo

  • +Amu 3:10; 6:34; 1Fa 3:12
  • +Hes 27:18; Kum 31:14; Mdo 6:6; 1Ti 4:14
  • +Hes 27:21; Yos 1:16; Ebr 13:17

Kumbukumbu la Torati 34:10

Marejeo

  • +Kum 18:15; Mdo 3:22; 7:37
  • +Kut 33:11, 20; Hes 12:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/1/1997, kur. 4-5

  • Fahirishi ya Machapisho

    w97 10/1 4-5

Kumbukumbu la Torati 34:11

Marejeo

  • +Kum 4:34; Zb 78:43

Kumbukumbu la Torati 34:12

Marejeo

  • +Kut 3:19; Kum 26:8; Lu 24:19

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Kum. 34:1Hes 27:12; Kum 32:49
Kum. 34:1Hes 21:20; Kum 3:27
Kum. 34:1Hes 36:13
Kum. 34:1Yos 19:47; Amu 18:29
Kum. 34:2Kut 23:31; Hes 34:6; Kum 11:24
Kum. 34:3Yos 15:1
Kum. 34:3Mwa 13:10; 1Fa 7:46
Kum. 34:32Nya 28:15
Kum. 34:3Mwa 19:22; Isa 15:5
Kum. 34:4Mwa 12:7; 26:3; 28:13
Kum. 34:4Hes 20:12; Kum 32:52
Kum. 34:5Hes 12:7; Mal 4:4
Kum. 34:5Kum 32:50; Yos 1:2
Kum. 34:6Kum 3:29
Kum. 34:6Mdo 2:31; Yud 9
Kum. 34:7Kum 31:2; Mdo 7:23, 30, 36
Kum. 34:7Mwa 27:1; 48:10
Kum. 34:7Yos 14:11
Kum. 34:8Hes 20:29
Kum. 34:9Amu 3:10; 6:34; 1Fa 3:12
Kum. 34:9Hes 27:18; Kum 31:14; Mdo 6:6; 1Ti 4:14
Kum. 34:9Hes 27:21; Yos 1:16; Ebr 13:17
Kum. 34:10Kum 18:15; Mdo 3:22; 7:37
Kum. 34:10Kut 33:11, 20; Hes 12:8
Kum. 34:11Kum 4:34; Zb 78:43
Kum. 34:12Kut 3:19; Kum 26:8; Lu 24:19
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Kumbukumbu la Torati 34:1-12

Kumbukumbu la Torati

34 Kisha Musa akatoka katika nchi tambarare za jangwa la Moabu na kuingia katika Mlima Nebo,+ mpaka juu ya Pisga,+ mbele ya Yeriko.+ Naye Yehova akamwonyesha nchi yote, Gileadi mpaka Dani,+ 2 na Naftali yote na nchi ya Efraimu na Manase na nchi yote ya Yuda mpaka bahari ya magharibi,+ 3 na Negebu+ na Wilaya,+ nchi tambarare ya bonde la Yeriko, jiji la mitende,+ mpaka Soari.+

4 Na Yehova akamwambia: “Hii ndiyo nchi ambayo nilimwapia Abrahamu, Isaka na Yakobo, na kusema, ‘Nitaupa uzao wako.’+ Nimekufanya uione kwa macho yako mwenyewe, kwa maana wewe hutavuka kuingia huko.”+

5 Baada ya hilo Musa mtumishi wa Yehova+ akafa huko katika nchi ya Moabu kulingana na agizo la Yehova.+ 6 Naye akamzika katika bonde katika nchi ya Moabu mbele ya Beth-peori,+ na hakuna mtu ambaye amepata kujua kaburi lake mpaka leo hii.+ 7 Naye Musa alikuwa na umri wa miaka 120 wakati wa kifo chake.+ Jicho lake halikuwa limeingia giza,+ na nguvu zake hazikuwa zimepotea.+ 8 Na wana wa Israeli wakamlilia Musa kwenye nchi tambarare za jangwa la Moabu kwa siku 30.+ Mwishowe siku za kulia za kipindi cha kumwombolezea Musa zikamalizika.

9 Na Yoshua mwana wa Nuni alikuwa amejaa roho ya hekima,+ kwa kuwa Musa alikuwa ameweka mkono wake juu yake;+ na wana wa Israeli wakaanza kumsikiliza nao wakafanya kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.+ 10 Lakini hajainuka kamwe nabii katika Israeli aliye kama Musa,+ ambaye Yehova alimjua uso kwa uso,+ 11 kuhusiana na ishara zote na miujiza yote ambayo Yehova alimtuma afanye katika nchi ya Misri kwa Farao na watumishi wake wote na nchi yake yote,+ 12 na kuhusiana na mkono wote wenye nguvu na hofu kuu yote ambayo Musa alifanya ionekane mbele ya macho ya Israeli wote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki