Matendo 2:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 aliona kimbele na kusema kuhusu ufufuo wa Kristo, kwamba hakuachwa katika Kaburi* wala mwili wake haukuona uharibifu.+ Yuda 9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini wakati Mikaeli,+ yule malaika mkuu+ alipokuwa na tofauti+ na Ibilisi na kubishana naye juu ya mwili wa Musa,+ yeye hakuthubutu kumhukumu kwa matukano,+ bali alisema: “Yehova na akukemee.”+
31 aliona kimbele na kusema kuhusu ufufuo wa Kristo, kwamba hakuachwa katika Kaburi* wala mwili wake haukuona uharibifu.+
9 Lakini wakati Mikaeli,+ yule malaika mkuu+ alipokuwa na tofauti+ na Ibilisi na kubishana naye juu ya mwili wa Musa,+ yeye hakuthubutu kumhukumu kwa matukano,+ bali alisema: “Yehova na akukemee.”+