Zaburi 16:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana hutaiacha nafsi yangu katika Kaburi.*+Hutamruhusu mshikamanifu wako aone shimo.+ Matendo 13:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Kwa sababu hiyo anasema pia katika zaburi nyingine, ‘Hutamruhusu mshikamanifu wako aone uharibifu.’+ Matendo 13:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Kwa upande mwingine, yule ambaye Mungu alimfufua hakuona uharibifu.+
35 Kwa sababu hiyo anasema pia katika zaburi nyingine, ‘Hutamruhusu mshikamanifu wako aone uharibifu.’+