Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 49:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Hata hivyo, Mungu mwenyewe ataikomboa nafsi yangu kutoka katika mkono wa Kaburi,*+

      Kwa maana atanipokea. Sela.

  • Methali 15:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kaburi* na mahali pa maangamizi+ viko mbele za Yehova.+ Basi, mioyo ya wana wa binadamu+ ni zaidi!

  • Matendo 2:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 aliona kimbele na kusema kuhusu ufufuo wa Kristo, kwamba hakuachwa katika Kaburi* wala mwili wake haukuona uharibifu.+

  • Matendo 3:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 lakini mlimuua Wakili Mkuu wa uzima.+ Lakini Mungu alimfufua kutoka kwa wafu, uhakika ambao sisi ni mashahidi+ wake.

  • Ufunuo 1:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 na aliye hai;+ nami nilikufa,+ lakini, tazama! ninaishi milele na milele,+ nami nina funguo za kifo+ na za Kaburi.*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki