Waroma 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana, kwa kweli, tulipokuwa tungali bado dhaifu,+ Kristo alikufa wakati uliowekwa kwa ajili ya watu wasiomwogopa Mungu.+ 1 Petro 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ndiyo, hata Kristo alikufa mara moja kwa wakati wote kuzihusu dhambi,+ mtu mwadilifu kwa ajili ya wasio waadilifu,+ ili awaongoze ninyi kwa Mungu,+ yeye aliuawa katika mwili,+ lakini akafanywa kuwa hai katika roho.+
6 Kwa maana, kwa kweli, tulipokuwa tungali bado dhaifu,+ Kristo alikufa wakati uliowekwa kwa ajili ya watu wasiomwogopa Mungu.+
18 Ndiyo, hata Kristo alikufa mara moja kwa wakati wote kuzihusu dhambi,+ mtu mwadilifu kwa ajili ya wasio waadilifu,+ ili awaongoze ninyi kwa Mungu,+ yeye aliuawa katika mwili,+ lakini akafanywa kuwa hai katika roho.+