6 Sisi sote tumeenda huku na huku kama kondoo;+ sisi tumegeuka kwenda kila mmoja kwenye njia yake; na Yehova amefanya kosa letu sote likutane na huyo.+
28 vivyo hivyo pia Kristo alitolewa+ mara moja kwa wakati wote ili kubeba dhambi za wengi;+ na mara ya pili+ atakapotokea+ itakuwa ni bila dhambi+ na kwa wale wanaomtazamia kwa bidii kwa ajili ya wokovu wao.+