21 Na Haruni ataweka mikono yake miwili+ juu ya kichwa cha yule mbuzi aliye hai na kuungama+ juu yake makosa+ yote ya wana wa Israeli na maasi yao yote na dhambi+ zao zote, naye atayaweka juu ya kichwa cha yule mbuzi+ na kumpeleka mpaka nyikani+ kwa mkono wa mtu aliye tayari.+
18 Ndiyo, hata Kristo alikufa mara moja kwa wakati wote kuzihusu dhambi,+ mtu mwadilifu kwa ajili ya wasio waadilifu,+ ili awaongoze ninyi kwa Mungu,+ yeye aliuawa katika mwili,+ lakini akafanywa kuwa hai katika roho.+