1 Wakorintho 15:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Hata hivyo, hili nasema, akina ndugu, kwamba nyama na damu haviwezi kuurithi ufalme wa Mungu,+ wala uharibifu haurithi kutoweza kuharibika.+ Wakolosai 1:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 yeye sasa amewapatanisha+ tena kwa njia ya mwili wenye nyama wa huyo kupitia kifo chake,+ ili awatoe ninyi mkiwa watakatifu na wasio na dosari+ na bila shtaka+ lolote mbele zake,
50 Hata hivyo, hili nasema, akina ndugu, kwamba nyama na damu haviwezi kuurithi ufalme wa Mungu,+ wala uharibifu haurithi kutoweza kuharibika.+
22 yeye sasa amewapatanisha+ tena kwa njia ya mwili wenye nyama wa huyo kupitia kifo chake,+ ili awatoe ninyi mkiwa watakatifu na wasio na dosari+ na bila shtaka+ lolote mbele zake,