Ayubu 38:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Je, wewe umefunuliwa malango ya kifo,+Au, je, unaweza kuona malango ya kivuli kizito?+ Zaburi 9:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Unionyeshe kibali, Ee Yehova; uone mateso yangu kutoka kwa wale wanaonichukia,+Ewe unayeniinua kutoka katika malango ya kifo,+
13 Unionyeshe kibali, Ee Yehova; uone mateso yangu kutoka kwa wale wanaonichukia,+Ewe unayeniinua kutoka katika malango ya kifo,+