Zaburi 9:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Unionyeshe kibali, Ee Yehova; uone mateso yangu kutoka kwa wale wanaonichukia,+Ewe unayeniinua kutoka katika malango ya kifo,+ Zaburi 107:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nafsi yao ikachukia kila namna ya chakula,+Nao wakayafikia malango ya kifo.+ Mathayo 16:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Pia, ninakuambia, Wewe ni Petro,+ na juu ya mwamba huu+ nitajenga kutaniko langu, na malango ya Kaburi*+ hayatalizidi nguvu.+ Ufunuo 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 na aliye hai;+ nami nilikufa,+ lakini, tazama! ninaishi milele na milele,+ nami nina funguo za kifo+ na za Kaburi.*+
13 Unionyeshe kibali, Ee Yehova; uone mateso yangu kutoka kwa wale wanaonichukia,+Ewe unayeniinua kutoka katika malango ya kifo,+
18 Pia, ninakuambia, Wewe ni Petro,+ na juu ya mwamba huu+ nitajenga kutaniko langu, na malango ya Kaburi*+ hayatalizidi nguvu.+
18 na aliye hai;+ nami nilikufa,+ lakini, tazama! ninaishi milele na milele,+ nami nina funguo za kifo+ na za Kaburi.*+