Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 33:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Na nafsi yake hukaribia kwenye shimo,+

      Na uzima wake kwa wale wanaosababisha kifo.

  • Ayubu 38:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Je, wewe umefunuliwa malango ya kifo,+

      Au, je, unaweza kuona malango ya kivuli kizito?+

  • Zaburi 9:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Unionyeshe kibali, Ee Yehova; uone mateso yangu kutoka kwa wale wanaonichukia,+

      Ewe unayeniinua kutoka katika malango ya kifo,+

  • Zaburi 88:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Kwa maana nafsi yangu imepata misiba ya kutosha,+

      Na maisha yangu yamekaribiana na Kaburi.*+

  • Zaburi 116:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Kamba za kifo zilinizunguka+

      Na hali zenye kutaabisha za Kaburi* zikanipata.+

      Nikaendelea kupata taabu na huzuni.+

  • Ufunuo 1:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 na aliye hai;+ nami nilikufa,+ lakini, tazama! ninaishi milele na milele,+ nami nina funguo za kifo+ na za Kaburi.*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki