Ayubu 33:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Na nafsi yake hukaribia kwenye shimo,+Na uzima wake kwa wale wanaosababisha kifo. Ayubu 38:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Je, wewe umefunuliwa malango ya kifo,+Au, je, unaweza kuona malango ya kivuli kizito?+ Zaburi 9:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Unionyeshe kibali, Ee Yehova; uone mateso yangu kutoka kwa wale wanaonichukia,+Ewe unayeniinua kutoka katika malango ya kifo,+ Zaburi 88:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana nafsi yangu imepata misiba ya kutosha,+Na maisha yangu yamekaribiana na Kaburi.*+ Zaburi 116:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kamba za kifo zilinizunguka+Na hali zenye kutaabisha za Kaburi* zikanipata.+Nikaendelea kupata taabu na huzuni.+ Ufunuo 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 na aliye hai;+ nami nilikufa,+ lakini, tazama! ninaishi milele na milele,+ nami nina funguo za kifo+ na za Kaburi.*+
13 Unionyeshe kibali, Ee Yehova; uone mateso yangu kutoka kwa wale wanaonichukia,+Ewe unayeniinua kutoka katika malango ya kifo,+
3 Kamba za kifo zilinizunguka+Na hali zenye kutaabisha za Kaburi* zikanipata.+Nikaendelea kupata taabu na huzuni.+
18 na aliye hai;+ nami nilikufa,+ lakini, tazama! ninaishi milele na milele,+ nami nina funguo za kifo+ na za Kaburi.*+