Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 22:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Kwa maana mashuu yanayosababisha kifo yalinizunguka;+

      Kulikuwa na mafuriko ya ghafula ya watu wasiofaa kitu yaliyoendelea kuniogopesha.+

  • Ayubu 38:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Je, wewe umefunuliwa malango ya kifo,+

      Au, je, unaweza kuona malango ya kivuli kizito?+

  • Zaburi 30:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Ee Yehova, umeitoa nafsi yangu kutoka katika Kaburi;*+

      Umeendelea kuniweka nikiwa hai, ili nisipate kushuka ndani ya shimo.+

  • Zaburi 107:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nafsi yao ikachukia kila namna ya chakula,+

      Nao wakayafikia malango ya kifo.+

  • Zaburi 116:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Kamba za kifo zilinizunguka+

      Na hali zenye kutaabisha za Kaburi* zikanipata.+

      Nikaendelea kupata taabu na huzuni.+

  • Isaya 38:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mimi nilisema: “Katikati ya siku zangu nitaingia katika malango+ ya Kaburi.*

      Nitanyimwa mabaki+ ya miaka yangu.”

  • Ufunuo 1:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 na aliye hai;+ nami nilikufa,+ lakini, tazama! ninaishi milele na milele,+ nami nina funguo za kifo+ na za Kaburi.*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki