2 Samweli 22:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana mashuu yanayosababisha kifo yalinizunguka;+Kulikuwa na mafuriko ya ghafula ya watu wasiofaa kitu yaliyoendelea kuniogopesha.+ Ayubu 38:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Je, wewe umefunuliwa malango ya kifo,+Au, je, unaweza kuona malango ya kivuli kizito?+ Zaburi 30:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ee Yehova, umeitoa nafsi yangu kutoka katika Kaburi;*+Umeendelea kuniweka nikiwa hai, ili nisipate kushuka ndani ya shimo.+ Zaburi 107:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nafsi yao ikachukia kila namna ya chakula,+Nao wakayafikia malango ya kifo.+ Zaburi 116:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kamba za kifo zilinizunguka+Na hali zenye kutaabisha za Kaburi* zikanipata.+Nikaendelea kupata taabu na huzuni.+ Isaya 38:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mimi nilisema: “Katikati ya siku zangu nitaingia katika malango+ ya Kaburi.*Nitanyimwa mabaki+ ya miaka yangu.” Ufunuo 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 na aliye hai;+ nami nilikufa,+ lakini, tazama! ninaishi milele na milele,+ nami nina funguo za kifo+ na za Kaburi.*+
5 Kwa maana mashuu yanayosababisha kifo yalinizunguka;+Kulikuwa na mafuriko ya ghafula ya watu wasiofaa kitu yaliyoendelea kuniogopesha.+
3 Ee Yehova, umeitoa nafsi yangu kutoka katika Kaburi;*+Umeendelea kuniweka nikiwa hai, ili nisipate kushuka ndani ya shimo.+
3 Kamba za kifo zilinizunguka+Na hali zenye kutaabisha za Kaburi* zikanipata.+Nikaendelea kupata taabu na huzuni.+
10 Mimi nilisema: “Katikati ya siku zangu nitaingia katika malango+ ya Kaburi.*Nitanyimwa mabaki+ ya miaka yangu.”
18 na aliye hai;+ nami nilikufa,+ lakini, tazama! ninaishi milele na milele,+ nami nina funguo za kifo+ na za Kaburi.*+