Zaburi 16:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana hutaiacha nafsi yangu katika Kaburi.*+Hutamruhusu mshikamanifu wako aone shimo.+ Zaburi 86:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana fadhili zako zenye upendo ni kuu kunielekea mimi,+Nawe umeikomboa nafsi yangu kutoka katika Kaburi,* mahali pake pa chini kabisa.+ Matendo 2:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 aliona kimbele na kusema kuhusu ufufuo wa Kristo, kwamba hakuachwa katika Kaburi* wala mwili wake haukuona uharibifu.+
13 Kwa maana fadhili zako zenye upendo ni kuu kunielekea mimi,+Nawe umeikomboa nafsi yangu kutoka katika Kaburi,* mahali pake pa chini kabisa.+
31 aliona kimbele na kusema kuhusu ufufuo wa Kristo, kwamba hakuachwa katika Kaburi* wala mwili wake haukuona uharibifu.+