Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 14:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Laiti ungenificha katika Kaburi,*+

      Kwamba ungenificha mpaka hasira yako igeuke,

      Kwamba ungeniwekea kikomo cha wakati+ na kunikumbuka!+

  • Ayubu 17:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nitalipaazia shimo+ sauti, ‘Wewe ni baba yangu!’

      Na kumwambia funza,+ ‘Wewe ni mama yangu na dada yangu!’

  • Isaya 38:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Tazama! Kwa ajili ya amani nilipata jambo chungu, ndiyo, chungu;+

      Nawe mwenyewe umeshikamana na nafsi yangu na kuizuia kutokana na shimo la uharibifu.+

      Kwa maana umezitupa dhambi zangu zote nyuma ya mgongo wako.+

  • Matendo 13:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Kwa sababu hiyo anasema pia katika zaburi nyingine, ‘Hutamruhusu mshikamanifu wako aone uharibifu.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki