Ayubu 14:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Laiti ungenificha katika Kaburi,*+Kwamba ungenificha mpaka hasira yako igeuke,Kwamba ungeniwekea kikomo cha wakati+ na kunikumbuka!+ Ayubu 17:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nitalipaazia shimo+ sauti, ‘Wewe ni baba yangu!’Na kumwambia funza,+ ‘Wewe ni mama yangu na dada yangu!’ Isaya 38:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Tazama! Kwa ajili ya amani nilipata jambo chungu, ndiyo, chungu;+Nawe mwenyewe umeshikamana na nafsi yangu na kuizuia kutokana na shimo la uharibifu.+Kwa maana umezitupa dhambi zangu zote nyuma ya mgongo wako.+ Matendo 13:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Kwa sababu hiyo anasema pia katika zaburi nyingine, ‘Hutamruhusu mshikamanifu wako aone uharibifu.’+
13 Laiti ungenificha katika Kaburi,*+Kwamba ungenificha mpaka hasira yako igeuke,Kwamba ungeniwekea kikomo cha wakati+ na kunikumbuka!+
14 Nitalipaazia shimo+ sauti, ‘Wewe ni baba yangu!’Na kumwambia funza,+ ‘Wewe ni mama yangu na dada yangu!’
17 Tazama! Kwa ajili ya amani nilipata jambo chungu, ndiyo, chungu;+Nawe mwenyewe umeshikamana na nafsi yangu na kuizuia kutokana na shimo la uharibifu.+Kwa maana umezitupa dhambi zangu zote nyuma ya mgongo wako.+
35 Kwa sababu hiyo anasema pia katika zaburi nyingine, ‘Hutamruhusu mshikamanifu wako aone uharibifu.’+