Mwanzo 44:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Mkimchukua huyu naye toka machoni pangu na apatwe na tukio lenye kufisha, bila shaka mtazishusha mvi zangu kwa msiba mpaka katika Kaburi.’*+ 1 Samweli 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yehova ni Mwenye Kuua na Mwenye Kuhifadhi uhai,+Ni Mwenye Kushusha mpaka katika Kaburi,*+ na Yeye huinua.+ Isaya 57:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yeye huingia katika amani;+ wao hupumzika+ vitandani+ mwao, kila mmoja anayetembea kwa unyoofu.+
29 Mkimchukua huyu naye toka machoni pangu na apatwe na tukio lenye kufisha, bila shaka mtazishusha mvi zangu kwa msiba mpaka katika Kaburi.’*+
6 Yehova ni Mwenye Kuua na Mwenye Kuhifadhi uhai,+Ni Mwenye Kushusha mpaka katika Kaburi,*+ na Yeye huinua.+