Kumbukumbu la Torati 32:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Oneni sasa kwamba mimi—mimi ndiye+Na hakuna miungu pamoja nami.+Mimi huua, nami hufanya hai.+Nimejeruhi vikali,+ na mimi—mimi nitaponya,+Na hakuna anayenyakua kutoka mkononi mwangu.+ Zaburi 68:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwetu, Mungu wa kweli ni Mungu wa matendo ya kuokoa;+Nazo njia za kutoka katika kifo+ ni za Yehova Bwana Mwenye Enzi Kuu.+
39 Oneni sasa kwamba mimi—mimi ndiye+Na hakuna miungu pamoja nami.+Mimi huua, nami hufanya hai.+Nimejeruhi vikali,+ na mimi—mimi nitaponya,+Na hakuna anayenyakua kutoka mkononi mwangu.+
20 Kwetu, Mungu wa kweli ni Mungu wa matendo ya kuokoa;+Nazo njia za kutoka katika kifo+ ni za Yehova Bwana Mwenye Enzi Kuu.+