Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 2:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Yehova ni Mwenye Kuua na Mwenye Kuhifadhi uhai,+

      Ni Mwenye Kushusha mpaka katika Kaburi,*+ na Yeye huinua.+

  • 2 Wafalme 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na ikawa kwamba mara tu mfalme wa Israeli aliposoma ile barua, mara moja akayararua+ mavazi yake na kusema: “Je, mimi ni Mungu,+ ili kuua au kuhifadhi hai?+ Kwa maana mtu huyu anatuma mtu kwangu ili nimponye ukoma wake; kwa maana angalieni, tafadhali, mwone jinsi anavyotafuta ugomvi nami.”+

  • Zaburi 68:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwetu, Mungu wa kweli ni Mungu wa matendo ya kuokoa;+

      Nazo njia za kutoka katika kifo+ ni za Yehova Bwana Mwenye Enzi Kuu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki