2 Samweli 10:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Hata hivyo, wakuu wa wana wa Amoni wakamwambia Hanuni bwana wao: “Je, Daudi anamheshimu baba yako machoni pako kwa kutuma kwako wafariji? Je, Daudi hakuwatuma watumishi wake kwako ili kulichunguza jiji na kulipeleleza+ na kulipindua?”+ Mhubiri 7:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Usiwe na haraka kuudhika katika roho yako,+ kwa maana kuudhika hukaa katika kifua cha wajinga.+
3 Hata hivyo, wakuu wa wana wa Amoni wakamwambia Hanuni bwana wao: “Je, Daudi anamheshimu baba yako machoni pako kwa kutuma kwako wafariji? Je, Daudi hakuwatuma watumishi wake kwako ili kulichunguza jiji na kulipeleleza+ na kulipindua?”+