Ayubu 14:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Laiti ungenificha katika Kaburi,*+Kwamba ungenificha mpaka hasira yako igeuke,Kwamba ungeniwekea kikomo cha wakati+ na kunikumbuka!+ Zaburi 30:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ee Yehova, umeitoa nafsi yangu kutoka katika Kaburi;*+Umeendelea kuniweka nikiwa hai, ili nisipate kushuka ndani ya shimo.+ Zaburi 49:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Hata hivyo, Mungu mwenyewe ataikomboa nafsi yangu kutoka katika mkono wa Kaburi,*+Kwa maana atanipokea. Sela. Zaburi 86:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana fadhili zako zenye upendo ni kuu kunielekea mimi,+Nawe umeikomboa nafsi yangu kutoka katika Kaburi,* mahali pake pa chini kabisa.+ Yohana 11:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Martha akamwambia: “Ninajua atafufuka katika ufufuo+ siku ya mwisho.” 1 Wakorintho 15:55 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 55 “Kifo, uko wapi ushindi wako? Kifo, uko wapi mchomo wako?”+
13 Laiti ungenificha katika Kaburi,*+Kwamba ungenificha mpaka hasira yako igeuke,Kwamba ungeniwekea kikomo cha wakati+ na kunikumbuka!+
3 Ee Yehova, umeitoa nafsi yangu kutoka katika Kaburi;*+Umeendelea kuniweka nikiwa hai, ili nisipate kushuka ndani ya shimo.+
15 Hata hivyo, Mungu mwenyewe ataikomboa nafsi yangu kutoka katika mkono wa Kaburi,*+Kwa maana atanipokea. Sela.
13 Kwa maana fadhili zako zenye upendo ni kuu kunielekea mimi,+Nawe umeikomboa nafsi yangu kutoka katika Kaburi,* mahali pake pa chini kabisa.+