Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 14:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Laiti ungenificha katika Kaburi,*+

      Kwamba ungenificha mpaka hasira yako igeuke,

      Kwamba ungeniwekea kikomo cha wakati+ na kunikumbuka!+

  • Zaburi 30:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Ee Yehova, umeitoa nafsi yangu kutoka katika Kaburi;*+

      Umeendelea kuniweka nikiwa hai, ili nisipate kushuka ndani ya shimo.+

  • Zaburi 49:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Hata hivyo, Mungu mwenyewe ataikomboa nafsi yangu kutoka katika mkono wa Kaburi,*+

      Kwa maana atanipokea. Sela.

  • Zaburi 86:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana fadhili zako zenye upendo ni kuu kunielekea mimi,+

      Nawe umeikomboa nafsi yangu kutoka katika Kaburi,* mahali pake pa chini kabisa.+

  • Yohana 11:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Martha akamwambia: “Ninajua atafufuka katika ufufuo+ siku ya mwisho.”

  • 1 Wakorintho 15:55
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 55 “Kifo, uko wapi ushindi wako? Kifo, uko wapi mchomo wako?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki