Ayubu 33:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Yeye ameikomboa nafsi yangu isiingie shimoni,+Na uzima wangu wenyewe utaona nuru.’ Zaburi 16:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana hutaiacha nafsi yangu katika Kaburi.*+Hutamruhusu mshikamanifu wako aone shimo.+ Zaburi 30:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ee Yehova, umeitoa nafsi yangu kutoka katika Kaburi;*+Umeendelea kuniweka nikiwa hai, ili nisipate kushuka ndani ya shimo.+ Zaburi 56:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana umeikomboa nafsi yangu na kifo+—Je, hukuikomboa miguu yangu isijikwae?+—Ili nipate kutembea mbele za Mungu katika nuru ya wale walio hai.+ Zaburi 86:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana fadhili zako zenye upendo ni kuu kunielekea mimi,+Nawe umeikomboa nafsi yangu kutoka katika Kaburi,* mahali pake pa chini kabisa.+
3 Ee Yehova, umeitoa nafsi yangu kutoka katika Kaburi;*+Umeendelea kuniweka nikiwa hai, ili nisipate kushuka ndani ya shimo.+
13 Kwa maana umeikomboa nafsi yangu na kifo+—Je, hukuikomboa miguu yangu isijikwae?+—Ili nipate kutembea mbele za Mungu katika nuru ya wale walio hai.+
13 Kwa maana fadhili zako zenye upendo ni kuu kunielekea mimi,+Nawe umeikomboa nafsi yangu kutoka katika Kaburi,* mahali pake pa chini kabisa.+