Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 33:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Yeye ameikomboa nafsi yangu isiingie shimoni,+

      Na uzima wangu wenyewe utaona nuru.’

  • Zaburi 16:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana hutaiacha nafsi yangu katika Kaburi.*+

      Hutamruhusu mshikamanifu wako aone shimo.+

  • Zaburi 30:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Ee Yehova, umeitoa nafsi yangu kutoka katika Kaburi;*+

      Umeendelea kuniweka nikiwa hai, ili nisipate kushuka ndani ya shimo.+

  • Zaburi 56:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana umeikomboa nafsi yangu na kifo+—

      Je, hukuikomboa miguu yangu isijikwae?+—

      Ili nipate kutembea mbele za Mungu katika nuru ya wale walio hai.+

  • Zaburi 86:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana fadhili zako zenye upendo ni kuu kunielekea mimi,+

      Nawe umeikomboa nafsi yangu kutoka katika Kaburi,* mahali pake pa chini kabisa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki