Zaburi 28:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Mimi huendelea kukuita wewe, Ee Yehova.+Ee Mwamba wangu, usiwe kwangu kama kiziwi,+Ili usininyamazie+Nami nisilazimike kuwa kama wale wanaoshuka chini shimoni.+ Isaya 38:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Tazama! Kwa ajili ya amani nilipata jambo chungu, ndiyo, chungu;+Nawe mwenyewe umeshikamana na nafsi yangu na kuizuia kutokana na shimo la uharibifu.+Kwa maana umezitupa dhambi zangu zote nyuma ya mgongo wako.+ Yona 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nilishuka mpaka sehemu za chini kabisa za milima.Nayo dunia, mapingo yake yalikuwa juu yangu mpaka wakati usio na kipimo.Lakini uliinua uhai wangu toka shimoni, Ee Yehova Mungu wangu.+
28 Mimi huendelea kukuita wewe, Ee Yehova.+Ee Mwamba wangu, usiwe kwangu kama kiziwi,+Ili usininyamazie+Nami nisilazimike kuwa kama wale wanaoshuka chini shimoni.+
17 Tazama! Kwa ajili ya amani nilipata jambo chungu, ndiyo, chungu;+Nawe mwenyewe umeshikamana na nafsi yangu na kuizuia kutokana na shimo la uharibifu.+Kwa maana umezitupa dhambi zangu zote nyuma ya mgongo wako.+
6 Nilishuka mpaka sehemu za chini kabisa za milima.Nayo dunia, mapingo yake yalikuwa juu yangu mpaka wakati usio na kipimo.Lakini uliinua uhai wangu toka shimoni, Ee Yehova Mungu wangu.+