Kumbukumbu la Torati 32:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yeye Mwamba, kazi zake ni kamilifu,+Kwa maana njia zake zote ni haki.+Mungu wa uaminifu,+ ambaye hana ukosefu wowote wa haki;+Yeye ni mwadilifu na mnyoofu.+ Zaburi 42:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nitamwambia Mungu mwamba wangu:+“Kwa nini umenisahau?+Kwa nini natembea kwa huzuni kwa sababu ya ukandamizaji wa adui?”+ Isaya 26:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mtegemeeni Yehova,+ kwa nyakati zote, kwa maana katika Yah Yehova kuna Mwamba+ wa mpaka nyakati zisizo na kipimo.
4 Yeye Mwamba, kazi zake ni kamilifu,+Kwa maana njia zake zote ni haki.+Mungu wa uaminifu,+ ambaye hana ukosefu wowote wa haki;+Yeye ni mwadilifu na mnyoofu.+
9 Nitamwambia Mungu mwamba wangu:+“Kwa nini umenisahau?+Kwa nini natembea kwa huzuni kwa sababu ya ukandamizaji wa adui?”+
4 Mtegemeeni Yehova,+ kwa nyakati zote, kwa maana katika Yah Yehova kuna Mwamba+ wa mpaka nyakati zisizo na kipimo.