Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 18:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Ni jambo lisilowaziwa kwako kwamba unatenda namna hii kuua mtu mwadilifu pamoja na mwovu hivi kwamba mtu mwadilifu apatwe na jambo lilelile kama ilivyo kwa mwovu!+ Ni jambo lisilowaziwa kwako.+ Je, Mwamuzi wa dunia yote hatafanya lililo sawa?”+

  • Zaburi 92:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ili kutangaza kwamba Yehova ni mnyoofu.+

      Yeye ni Mwamba wangu,+ ambaye ndani yake hamna ukosefu wowote wa uadilifu.+

  • Zaburi 99:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Na kwa nguvu za mfalme ameipenda hukumu.+

      Wewe mwenyewe umeufanya imara unyoofu.+

      Umetekeleza hukumu na uadilifu katika Yakobo.+

  • Hosea 14:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ni nani aliye na hekima, apate kuelewa mambo haya?+ Mwenye busara, apate kuyajua?+ Kwa maana njia za Yehova zimenyooka,+ na waadilifu ndio watakaotembea katika hizo;+ bali wakosaji ndio watakaojikwaa katika hizo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki