Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 34:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ndiyo, kwa kweli, Mungu hatendi kwa uovu,+

      Na Mweza-Yote hapotoshi hukumu.+

  • Zaburi 50:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Na mbingu zinasema juu ya uadilifu wake,+

      Kwa maana Mungu mwenyewe ni Mwamuzi.+ Sela.

  • Zaburi 94:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Usimame mwenyewe, Ee Mwamuzi wa dunia.+

      Uwalipe wenye majivuno.+

  • Isaya 33:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa maana Yehova ni Mwamuzi+ wetu, Yehova ni Mpaji-sheria+ wetu, Yehova ni Mfalme+ wetu; yeye mwenyewe atatuokoa.+

  • Zekaria 7:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Yehova wa majeshi amesema hivi, ‘Fanyeni hukumu kwa haki ya kweli;+ na mtendeane kwa fadhili zenye upendo+ na rehema;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki