Mwanzo 18:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ni jambo lisilowaziwa kwako kwamba unatenda namna hii kuua mtu mwadilifu pamoja na mwovu hivi kwamba mtu mwadilifu apatwe na jambo lilelile kama ilivyo kwa mwovu!+ Ni jambo lisilowaziwa kwako.+ Je, Mwamuzi wa dunia yote hatafanya lililo sawa?”+ Zaburi 50:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na mbingu zinasema juu ya uadilifu wake,+Kwa maana Mungu mwenyewe ni Mwamuzi.+ Sela. Zaburi 75:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana Mungu ndiye mwamuzi.+Humshusha huyu, na kumwinua yule.+ Zaburi 98:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mbele za Yehova, kwa maana amekuja kuihukumu dunia.+Ataihukumu nchi yenye kuzaa kwa uadilifu+Na vikundi vya watu kwa unyoofu.+
25 Ni jambo lisilowaziwa kwako kwamba unatenda namna hii kuua mtu mwadilifu pamoja na mwovu hivi kwamba mtu mwadilifu apatwe na jambo lilelile kama ilivyo kwa mwovu!+ Ni jambo lisilowaziwa kwako.+ Je, Mwamuzi wa dunia yote hatafanya lililo sawa?”+
9 Mbele za Yehova, kwa maana amekuja kuihukumu dunia.+Ataihukumu nchi yenye kuzaa kwa uadilifu+Na vikundi vya watu kwa unyoofu.+