Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 18:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Ni jambo lisilowaziwa kwako kwamba unatenda namna hii kuua mtu mwadilifu pamoja na mwovu hivi kwamba mtu mwadilifu apatwe na jambo lilelile kama ilivyo kwa mwovu!+ Ni jambo lisilowaziwa kwako.+ Je, Mwamuzi wa dunia yote hatafanya lililo sawa?”+

  • Zaburi 50:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Na mbingu zinasema juu ya uadilifu wake,+

      Kwa maana Mungu mwenyewe ni Mwamuzi.+ Sela.

  • Zaburi 75:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Kwa maana Mungu ndiye mwamuzi.+

      Humshusha huyu, na kumwinua yule.+

  • Zaburi 98:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Mbele za Yehova, kwa maana amekuja kuihukumu dunia.+

      Ataihukumu nchi yenye kuzaa kwa uadilifu+

      Na vikundi vya watu kwa unyoofu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki