Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Yehova ni Mwenye Kuleta Umaskini+ na Mwenye Kutajirisha,+

      Ni Mwenye Kushusha, pia Mwenye Kuinua,+

  • 2 Samweli 6:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Lakini Daudi akamwambia Mikali: “Ilikuwa mbele za Yehova, aliyenichagua mimi badala ya baba yako na nyumba yake yote, akanipa amri+ niwe kiongozi juu ya Israeli, watu wa Yehova, nami nitasherehekea mbele za Yehova.+

  • Danieli 2:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Naye anabadili nyakati na majira,+ akiondoa wafalme na kuwasimamisha wafalme,+ akiwapa hekima wenye hekima na kuwapa ujuzi wale wanaojua utambuzi.+

  • Danieli 4:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Jambo hilo ni kulingana na agizo la walinzi,+ na ombi hilo ni kulingana na neno la watakatifu, kusudi watu wanaoishi wajue kwamba Aliye Juu Zaidi ni Mtawala katika ufalme wa wanadamu+ na kwamba humpa yeyote yule amtakaye ufalme huo,+ na humweka juu yake mwanadamu aliye wa hali ya chini zaidi.”+

  • Luka 1:52
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 52 Amewashusha watu wenye nguvu+ kutoka katika viti vya ufalme na kuwainua watu wa hali ya chini;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki