Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Ni Mwenye Kuinua mtu wa hali ya chini kutoka mavumbini;+

      Humwinua maskini kutoka katika shimo la majivu,+

      Ili awafanye wakae pamoja na watu wenye vyeo; naye huwapa urithi+ wa kiti cha ufalme cha utukufu.+

      Kwa maana nguzo za dunia+ ni za Yehova,

      Naye huiweka nchi yenye kuzaa juu ya hizo.

  • Ezekieli 17:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Na miti yote ya shambani italazimika kujua kwamba mimi mwenyewe, Yehova,+ nimeushusha ule mti mrefu,+ nimeuweka juu ule mti mfupi,+ nimeukausha ule mti ambao ungali mbichi+ na kuufanya mti uliokauka uchipuke. Mimi mwenyewe, Yehova, nimesema nami nimefanya+ hilo.” ’ ”

  • Zekaria 9:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Shangilia sana, Ee binti Sayuni.+ Piga kelele za ushindi,+ Ee binti Yerusalemu. Tazama! mfalme+ wako anakuja kwako.+ Yeye ni mwadilifu, ndiyo, ameokolewa;+ ni mnyenyekevu,+ naye amepanda juu ya punda, juu ya mnyama mkomavu, mwana wa punda-jike.+

  • Mathayo 11:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Chukueni nira+ yangu na mjifunze kutoka kwangu,+ kwa maana mimi ni mwenye tabia-pole+ na mnyenyekevu moyoni, nanyi mtapata burudisho+ kwa ajili ya nafsi zenu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki